|
mchungaji shabani mughalu toka congo
|
posted 9/18/04 4:47 PM
nimesoma kwamba unatamani kua raisi anaye terajiwa tanzania na sababu ya hii nilipenda ni ku swali je umepata uakika kutoka Bwana ? je munishi amekua mwana siasa ?si sibaya ingawa Bwana amekutaka kuiongoza tanzania baadaye jibu kwa hii maswali yaweza kua uongozi mzuri kwa neno lile aksanti na Bwana akubariki
|