Return To Message Board
Author Topic:   Lazima Tukemee Maovu
Munishi posted 11/2/04 9:21 AM    
Sawa. Huo ni mtizamo wako, ambao unahitaji maelezo kutoka kwangu. Mimi sijaacha kuihubiri Injili. Kama kuna wakati ninapoihubiri injili kwa ujasiri ni sasa. Kukemea, Kukaripia, Kuonya na kufundisha, ni sehemu ya injili. Kuombea wengine pia ni INJILI.Sasa nimekjosea wapi kuwakemea kina Mkapa wauaji, wezi wa mali za umma? Unataka niwaombee? Hawajakubali makosa yao na kutubu. wakifanya hivyo nitawaombea. Uniombee nipate ujasiri wa kuwakemea hasa wale wanaomwabudu Marehemu Nyerere. Alifanya mazuri kwa mtizamo wako, wacha tuseme mabaya yake kwa mitizamo yetu tulio wengi. Ikiwa hamtaki kuyasikia mabaya yake, kwa nini mtuambie mazuri yake? Acheni unafiki.
Return To Message Board

http://munishi.com  | Post New Topic