|
IKUPAH
|
posted 11/22/11 9:27 AM
Kweli ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindando kuliko binadamu kuona ufalme wa Mungu.MUSHI NA KULOLA nimeanza kuwaona tangia nikiwa na miaka nane...wakija Mbeya Kutangaza neno la Bwana wetu Yesu Kristo kwa pamoja. INANISHANGAZA LEO KUONA ATI WAKO KWENYE MITANDAO TENDA MKIZUNGUMZA MAMBO KAMA HAYA. MUSHINI ya Mungu muachie yeye na ya dunia aiachie Dunia coz huwezi kuyajua yote.na sioni Busara sana mtu kama wewe kuweka mada kama hii, unapunguza baraka.HEBU TUMUABUDU MUNGU NA TUYACHE YA DUNIA.Mungu wetu atubariki.
|